Waamuzi 20 : 38 Judges chapter 20 verse 38

Swahili English Translation

Waamuzi 20:38

Basi hiyo ishara iliyoaganwa kati ya watu wa Israeli na hao wenye kuvizia ilikuwa ni hii, kwamba wafanye lipande wingu kubwa la moshi kutoka katika huo mji.
soma Mlango wa 20

Judges 20:38

Now the appointed sign between the men of Israel and the liers-in-wait was that they should make a great cloud of smoke rise up out of the city.