Waamuzi 20 : 38 Judges chapter 20 verse 38
Swahili | English Translation |
---|---|
Waamuzi 20:38
Basi hiyo ishara iliyoaganwa kati ya watu wa Israeli na hao wenye kuvizia ilikuwa ni hii, kwamba wafanye lipande wingu kubwa la moshi kutoka katika huo mji.
|
Judges 20:38Now the appointed sign between the men of Israel and the liers-in-wait was that they should make a great cloud of smoke rise up out of the city. |