Waamuzi 20 : 18 Judges chapter 20 verse 18

Swahili English Translation

Waamuzi 20:18

Basi wana wa Israeli wakainuka, wakakwea kwenda Betheli, nao wakataka shauri kwa Mungu; wakasema, Ni nani atakayekwea kwenda vitani kwanza kwa ajili yetu juu ya wana wa Benyamini? Bwana akawaambia, Yuda atakwea kwanza.
soma Mlango wa 20

Judges 20:18

The children of Israel arose, and went up to Bethel, and asked counsel of God; and they said, Who shall go up for us first to battle against the children of Benjamin? Yahweh said, Judah [shall go up] first.