Waamuzi 20 : 13 Judges chapter 20 verse 13

Swahili English Translation

Waamuzi 20:13

Basi sasa watoeni watu hao, hao mabaradhuli walio katika Gibea, ili kwamba tupate kuwaua, na kuuondoa uovu katika Israeli. Lakini Benyamini hawakukubali kuisikia sauti ya ndugu zao wana wa Israeli.
soma Mlango wa 20

Judges 20:13

Now therefore deliver up the men, the base fellows, who are in Gibeah, that we may put them to death, and put away evil from Israel. But Benjamin would not listen to the voice of their brothers the children of Israel.