Waamuzi 2 : 18 Judges chapter 2 verse 18

Swahili English Translation

Waamuzi 2:18

Na wakati Bwana alipowainulia waamuzi, ndipo Bwana alikuwa pamoja na mwamuzi huyo, akawaokoa na mikono ya adui zao siku zote za mwamuzi huyo; maana Bwana alighairi kwa ajili ya kuugua kwao kwa sababu ya watu wale waliowaonea na kuwasumbua.
soma Mlango wa 2

Judges 2:18

When Yahweh raised them up judges, then Yahweh was with the judge, and saved them out of the hand of their enemies all the days of the judge: for it repented Yahweh because of their groaning by reason of those who oppressed them and vexed them.