Waamuzi 19 : 30 Judges chapter 19 verse 30

Swahili English Translation

Waamuzi 19:30

Basi ikawa, wote walioliona jambo hilo wakasema, Jambo kama hili halijatendeka wala kuonekana tangu siku hiyo wana wa Israeli walipokwea kutoka katika nchi ya Misri hata leo; haya, lifikirini, fanyeni shauri, mkanene.
soma Mlango wa 19

Judges 19:30

It was so, that all who saw it said, There was no such deed done nor seen from the day that the children of Israel came up out of the land of Egypt to this day: consider it, take counsel, and speak.