Waamuzi 18 : 2 Judges chapter 18 verse 2

Swahili English Translation

Waamuzi 18:2

Basi wana wa Dani wakatuma watu wa jamaa zao, watu watano katika hesabu yao yote, watu mashujaa, kutoka Sora, na kutoka Eshtaoli, ili kuipeleleza hiyo nchi, kuiaua; wakawaambia, Haya, endeni mkaikague nchi hii; basi wakaifikilia nchi ya vilima vilima ya Efraimu, hata nyumba ya huyo Mika, Wakalala huko.
soma Mlango wa 18

Judges 18:2

The children of Dan sent of their family five men from their whole number, men of valor, from Zorah, and from Eshtaol, to spy out the land, and to search it; and they said to them, Go, search the land. They came to the hill-country of Ephraim, to the house of Micah, and lodged there.