Waamuzi 18 : 19 Judges chapter 18 verse 19

Swahili English Translation

Waamuzi 18:19

Wao wakamwambia, Nyamaza wewe, weka mkono wako kinywani mwako, uende pamoja nasi, uwe kwetu baba, tena kuhani; je! Ni vema kwako kuwa kuhani kwa ajili ya nyumba ya mtu mmoja, au kuwa kuhani kwa ajili ya kabila na jamaa katika Israeli?
soma Mlango wa 18

Judges 18:19

They said to him, Hold your peace, lay your hand on your mouth, and go with us, and be to us a father and a priest: is it better for you to be priest to the house of one man, or to be priest to a tribe and a family in Israel?