Waamuzi 18 : 18 Judges chapter 18 verse 18

Swahili English Translation

Waamuzi 18:18

Nao hapo walipoingia ndani ya nyumba ya Mika, na kuileta hiyo sanamu ya kuchonga, na hiyo naivera, na kile kinyago, na hiyo sanamu ya kusubu, huyo kuhani akawauliza, Je! Mwafanya nini ninyi?
soma Mlango wa 18

Judges 18:18

When these went into Micah's house, and fetched the engraved image, the ephod, and the teraphim, and the molten image, the priest said to them, What do you?