Waamuzi 18 : 1 Judges chapter 18 verse 1

Swahili English Translation

Waamuzi 18:1

Siku hizo hapakuwa na mfalme katika Israeli; tena katika siku hizo kabila ya Wadani wakajitafutia urithi wapate mahali pa kukaa; maana hata siku hiyo urithi wao haujawaangukia kati ya kabila za Israeli.
soma Mlango wa 18

Judges 18:1

In those days there was no king in Israel: and in those days the tribe of the Danites sought them an inheritance to dwell in; for to that day [their] inheritance had not fallen to them among the tribes of Israel.