Waamuzi 16 : 9 Judges chapter 16 verse 9

Swahili English Translation

Waamuzi 16:9

Na yule mwanamke alikuwa na watu katika chumba cha ndani, wakimwotea. Basi akamwambia Samsoni, Wafilisti wanakujia. Ndipo akazikata zile kamba kama vile uzi wa pamba ukatwavyo ukiguswa na moto. Basi hiyo asili ya nguvu zake haikujulikana.
soma Mlango wa 16

Judges 16:9

Now she had liers-in-wait abiding in the inner chamber. She said to him, The Philistines are on you, Samson. He broke the cords, as a string of tow is broken when it touches the fire. So his strength was not known.