Waamuzi 16 : 30 Judges chapter 16 verse 30

Swahili English Translation

Waamuzi 16:30

Samsoni akasema; Na nife pamoja na hawa Wafilisti. Akainama kwa nguvu zake zote; ile nyumba ikawaangukia hao wakuu, na watu wote waliokuwa ndani yake. Basi wale watu aliowaua wakati wa kufa kwake walikuwa wengi kuliko wale aliowaua wakati wa uhai wake.
soma Mlango wa 16

Judges 16:30

Samson said, Let me die with the Philistines. He bowed himself with all his might; and the house fell on the lords, and on all the people who were therein. So the dead that he killed at his death were more than those who he killed in his life.