Waamuzi 16 : 12 Judges chapter 16 verse 12

Swahili English Translation

Waamuzi 16:12

Basi Delila akatwaa kamba mpya akamfunga nazo, akamwambia, Wafilisti wanakujia, Samsoni. Na wale wenye kuotea walikuwa katika chumba cha ndani. Naye akazikata, akazitupa kutoka mikononi mwake kama uzi.
soma Mlango wa 16

Judges 16:12

So Delilah took new ropes, and bound him therewith, and said to him, The Philistines are on you, Samson. The liers-in-wait were abiding in the inner chamber. He broke them off his arms like a thread.