Waamuzi 13 : 16 Judges chapter 13 verse 16

Swahili English Translation

Waamuzi 13:16

Lakini malaika wa Bwana akamwambia Manoa, Ujapokuwa wanizuia, sitakula katika mkate wako; na kwamba wataka kufanya tayari sadaka ya kuteketezwa, inakupasa kumsongezea Bwana. Kwa kuwa Manoa hakujua ya kwamba yeye ni malaika wa Bwana.
soma Mlango wa 13

Judges 13:16

The angel of Yahweh said to Manoah, Though you detain me, I won't eat of your bread; and if you will make ready a burnt offering, you must offer it to Yahweh. For Manoah didn't know that he was the angel of Yahweh.