Waamuzi 11 : 31 Judges chapter 11 verse 31

Swahili English Translation

Waamuzi 11:31

ndipo itakuwa ya kwamba, kile kitakachotoka katika milango ya nyumba yangu kunilaki, hapo nitakaporudi na amani kutoka kwa hao wana wa Amoni, kitu hicho kitakuwa ni cha Bwana, nami nitakisongeza kiwe sadaka ya kuteketezwa.
soma Mlango wa 11

Judges 11:31

then it shall be, that whatever comes forth from the doors of my house to meet me, when I return in peace from the children of Ammon, it shall be Yahweh's, and I will offer it up for a burnt offering.