Waamuzi 11 : 10 Judges chapter 11 verse 10

Swahili English Translation

Waamuzi 11:10

Wazee wa Gileadi wakamwambia Yeftha, Yeye Bwana atakuwa shahidi kati yetu; hakika yetu tutafanya sawasawa na neno lako.
soma Mlango wa 11

Judges 11:10

The elders of Gilead said to Jephthah, Yahweh shall be witness between us; surely according to your word so will we do.