Yoshua 8 : 31 Joshua chapter 8 verse 31

Swahili English Translation

Yoshua 8:31

Kama Musa, mtumishi wa Bwana, alivyowaamuru wana wa Israeli, kama ilivyoandikwa katika kitabu cha torati ya Musa, madhabahu ya mawe yasiyochongwa, ambayo mtu hakutumia juu yake chombo cha chuma; nao wakatoa juu yake sadaka za kuteketezwa kwa Bwana, na kuchinja sadaka za amani.
soma Mlango wa 8

Joshua 8:31

as Moses the servant of Yahweh commanded the children of Israel, as it is written in the book of the law of Moses, an altar of uncut stones, on which no man had lifted up any iron: and they offered thereon burnt offerings to Yahweh, and sacrificed peace-offerings.