Yoshua 24 : 18 Joshua chapter 24 verse 18

Swahili English Translation

Yoshua 24:18

Bwana ndiye aliyewafukuza watu wa mataifa yote watoke mbele yetu, naam, Waamori waliokaa katika nchi hii; basi, kwa sababu hiyo sisi nasi tutamtumikia Bwana, maana yeye ndiye Mungu wetu.
soma Mlango wa 24

Joshua 24:18

and Yahweh drove out from before us all the peoples, even the Amorites who lived in the land: therefore we also will serve Yahweh; for he is our God.