Yoshua 14 : 4 Joshua chapter 14 verse 4

Swahili English Translation

Yoshua 14:4

Kwa kuwa wana wa Yusufu walikuwa kabila mbili, Manase na Efraimu; nao hawakuwapa Walawi sehemu katika hiyo nchi, isipokuwa waliwapa miji wapate kuikaa, pamoja na viunga vyake kwa ajili ya wanyama wao wa mifugo, na kwa ajili ya riziki zao.
soma Mlango wa 14

Joshua 14:4

For the children of Joseph were two tribes, Manasseh and Ephraim: and they gave no portion to the Levites in the land, save cities to dwell in, with the suburbs of it for their cattle and for their substance.