Yoshua 14 : 4 Joshua chapter 14 verse 4
Swahili | English Translation |
---|---|
Yoshua 14:4
Kwa kuwa wana wa Yusufu walikuwa kabila mbili, Manase na Efraimu; nao hawakuwapa Walawi sehemu katika hiyo nchi, isipokuwa waliwapa miji wapate kuikaa, pamoja na viunga vyake kwa ajili ya wanyama wao wa mifugo, na kwa ajili ya riziki zao.
|
Joshua 14:4For the children of Joseph were two tribes, Manasseh and Ephraim: and they gave no portion to the Levites in the land, save cities to dwell in, with the suburbs of it for their cattle and for their substance. |