Yoshua 11 : 14 Joshua chapter 11 verse 14

Swahili English Translation

Yoshua 11:14

Tena nyara zote za miji hiyo, na wanyama wa miji, wana wa Israeli walitwaa kuwa nyara zao wenyewe; lakini kila mtu wakampiga kwa makali ya upanga, hata walipokuwa wamewaangamiza wote, wala hawakumsaza mmoja mwenye kuvuta pumzi.
soma Mlango wa 11

Joshua 11:14

All the spoil of these cities, and the cattle, the children of Israel took for a prey to themselves; but every man they struck with the edge of the sword, until they had destroyed them, neither left they any who breathed.