Yoshua 10 : 6 Joshua chapter 10 verse 6

Swahili English Translation

Yoshua 10:6

Ndipo watu wa Gibeoni wakatuma wajumbe kwenda kwa Yoshua huko Gilgali maragoni, wakamwambia, Usiulegeze mkono wako hata ukatuacha sisi watumishi wako; uje kwetu kwa upesi, utuokoe, na kutusaidia; kwa sababu wafalme wote wa Waamori wakaao katika nchi ya vilima wamekutana pamoja juu yetu.
soma Mlango wa 10

Joshua 10:6

The men of Gibeon sent to Joshua to the camp to Gilgal, saying, Don't slack your hand from your servants; come up to us quickly, and save us, and help us: for all the kings of the Amorites that dwell in the hill-country are gathered together against us.