Yoshua 10 : 33 Joshua chapter 10 verse 33

Swahili English Translation

Yoshua 10:33

Wakati huo Horamu, mfalme wa Gezeri, akakwea ili kuusaidia Lakishi, lakini Yoshua akampiga yeye na watu wake, hata asimsazie hata mtu mmoja.
soma Mlango wa 10

Joshua 10:33

Then Horam king of Gezer came up to help Lachish; and Joshua struck him and his people, until he had left him none remaining.