Yeremia 9 : 3 Jeremiah chapter 9 verse 3

Swahili English Translation

Yeremia 9:3

Huupinda ulimi wao, kana kwamba ni upinde, ili kusema uongo; nao wamepata nguvu katika nchi, lakini si katika uaminifu; maana huendelea toka ubaya hata ubaya, wala hawanijui mimi, asema Bwana.
soma Mlango wa 9

Jeremiah 9:3

They bend their tongue, [as it were] their bow, for falsehood; and they are grown strong in the land, but not for truth: for they proceed from evil to evil, and they don't know me, says Yahweh.