Yeremia 9 : 2 Jeremiah chapter 9 verse 2

Swahili English Translation

Yeremia 9:2

Laiti ningekuwa na mahali pa kukaa jangwani, kibanda cha wasafiri; nipate kuwaacha watu wangu, na kuondoka kwao! Maana wao ni wazinzi, wote pia, mkutano wa watu wenye hiana.
soma Mlango wa 9

Jeremiah 9:2

Oh that I had in the wilderness a lodging-place of wayfaring men; that I might leave my people, and go from them! for they are all adulterers, an assembly of treacherous men.