Yeremia 46 : 26 Jeremiah chapter 46 verse 26
Swahili | English Translation |
---|---|
Yeremia 46:26
nami nitawatia katika mikono ya hao wanaowatafuta roho zao, na katika mikono ya Nebukadreza, mfalme wa Babeli, na katika mikono ya watumishi wake; na baada ya hayo itakaliwa na watu, kama katika siku za kale, asema Bwana.
|
Jeremiah 46:26and I will deliver them into the hand of those who seek their lives, and into the hand of Nebuchadrezzar king of Babylon, and into the hand of his servants; and afterwards it shall be inhabited, as in the days of old, says Yahweh. |