Yeremia 46 : 21 Jeremiah chapter 46 verse 21

Swahili English Translation

Yeremia 46:21

Na watu wake waliojiwa, walio kati yake, Ni kama ndama waliowanda malishoni; Maana wao nao wamerudi nyuma, Wamekimbia wote pamoja, wasisimame; Maana siku ya msiba wao imewafikilia, Wakati wa kujiliwa kwao.
soma Mlango wa 46

Jeremiah 46:21

Also her hired men in the midst of her are like calves of the stall; for they also are turned back, they are fled away together, they didn't stand: for the day of their calamity is come on them, the time of their visitation.