Yeremia 46 : 2 Jeremiah chapter 46 verse 2

Swahili English Translation

Yeremia 46:2

Katika habari za Misri; habari za jeshi la Farao Neko, mfalme wa Misri, lililokuwa karibu na mto Frati katika Karkemishi, ambalo Nebukadreza, mfalme wa Babeli, alilipiga katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda.
soma Mlango wa 46

Jeremiah 46:2

Of Egypt: concerning the army of Pharaoh Necoh king of Egypt, which was by the river Euphrates in Carchemish, which Nebuchadrezzar king of Babylon struck in the fourth year of Jehoiakim the son of Josiah, king of Judah.