Yeremia 39 : 3 Jeremiah chapter 39 verse 3

Swahili English Translation

Yeremia 39:3

wakuu wote wa mfalme wa Babeli wakaingia, wakaketi katika lango la katikati, yaani, Nergal-Shareza, mnyweshaji, Nebu-Sarseki, mkuu wa matowashi, Nergal-Shareza, mkuu wa wanajimu, pamoja na wakuu wengine wote wa mfalme wa Babeli.
soma Mlango wa 39

Jeremiah 39:3

that all the princes of the king of Babylon came in, and sat in the middle gate, [to wit], Nergal Sharezer, Samgar-nebo, Sarsechim, Rabsaris, Nergal Sharezer, Rabmag, with all the rest of the princes of the king of Babylon.