Yeremia 38 : 22 Jeremiah chapter 38 verse 22

Swahili English Translation

Yeremia 38:22

Tazama, wanawake wote, walioachwa ndani ya nyumba ya mfalme wa Yuda, watatolewa na kuchukuliwa kwa wakuu wa mfalme wa Babeli, na wanawake hao watasema, Rafiki zako walio karibu wamekudanganya, nao wamekushinda; na kwa kuwa miguu yako imezama matopeni sasa, wamegeuka na kurudi nyuma.
soma Mlango wa 38

Jeremiah 38:22

behold, all the women who are left in the king of Judah's house shall be brought forth to the king of Babylon's princes, and those women shall say, Your familiar friends have set you on, and have prevailed over you: [now that] your feet are sunk in the mire, they are turned away back.