Yeremia 26 : 10 Jeremiah chapter 26 verse 10
Swahili | English Translation |
---|---|
Yeremia 26:10
Na wakuu wa Yuda waliposikia habari za mambo haya, wakatoka katika nyumba ya mfalme, wakapanda juu mpaka nyumbani kwa Bwana; wakaketi, hapo watu waingiapo katika lango jipya la nyumba ya Bwana.
|
Jeremiah 26:10When the princes of Judah heard these things, they came up from the king's house to the house of Yahweh; and they sat in the entry of the new gate of Yahweh's [house]. |