Yeremia 26 : 10 Jeremiah chapter 26 verse 10

Swahili English Translation

Yeremia 26:10

Na wakuu wa Yuda waliposikia habari za mambo haya, wakatoka katika nyumba ya mfalme, wakapanda juu mpaka nyumbani kwa Bwana; wakaketi, hapo watu waingiapo katika lango jipya la nyumba ya Bwana.
soma Mlango wa 26

Jeremiah 26:10

When the princes of Judah heard these things, they came up from the king's house to the house of Yahweh; and they sat in the entry of the new gate of Yahweh's [house].