Yeremia 11 : 19 Jeremiah chapter 11 verse 19

Swahili English Translation

Yeremia 11:19

Lakini mimi nalikuwa kama mwana-kondoo mpole, achukuliwaye kwenda kuchinjwa; wala sikujua ya kuwa wamefanya mashauri kinyume changu, wakisema, Na tuuharibu mti pamoja na matunda yake, na tumkatilie mbali atoke katika nchi ya walio hai, ili jina lake lisikumbukwe tena.
soma Mlango wa 11

Jeremiah 11:19

But I was like a gentle lamb that is led to the slaughter; and I didn't know that they had devised devices against me, [saying], Let us destroy the tree with the fruit of it, and let us cut him off from the land of the living, that his name may be no more remembered.