Isaya 16 : 14 Isaiah chapter 16 verse 14
Swahili | English Translation |
---|---|
Isaya 16:14
Lakini sasa Bwana asema hivi, Katika muda wa miaka mitatu, kama miaka ya mtu wa mshahara, utukufu wa Moabu utadharauliwa, pamoja na wingi wake wote; mabaki yake yatakuwa machache sana, kama si kitu kabisa.
|
Isaiah 16:14But now Yahweh has spoken, saying, Within three years, as the years of a hireling, the glory of Moab shall be brought into contempt, with all his great multitude; and the remnant shall be very small and of no account. |