Isaya 10 : 16 Isaiah chapter 10 verse 16

Swahili English Translation

Isaya 10:16

Kwa hiyo Bwana, Bwana wa majeshi, atawapelekea kukonda watu wake walionona; na badala ya utukufu wake kutawashwa kuteketea kama kuteketea kwa moto.
soma Mlango wa 10

Isaiah 10:16

Therefore will the Lord, Yahweh of Hosts, send among his fat ones leanness; and under his glory there shall be kindled a burning like the burning of fire.