Mwanzo 35 : 22 Genesis chapter 35 verse 22

Swahili English Translation

Mwanzo 35:22

Ikawa Israeli alipokuwa akikaa katika nchi ile, Reubeni akaenda akalala na Bilha, suria wa babaye; Israeli akasikia habari. Basi hao wana wa Yakobo walikuwa kumi na wawili.
soma Mlango wa 35

Genesis 35:22

It happened, while Israel lived in that land, that Reuben went and lay with Bilhah, his father's concubine, and Israel heard of it. Now the sons of Jacob were twelve.