Ezra 10 : 6 Ezra chapter 10 verse 6

Swahili English Translation

Ezra 10:6

Kisha Ezra akaondoka hapo mbele ya nyumba ya Mungu, akaingia katika chumba cha Yehohanani, mwana wa Eliashibu; hata, alipofika huko, hakula mkate, wala hakunywa maji; kwa maana alilia kwa sababu ya kosa lile la watu wa uhamisho.
soma Mlango wa 10

Ezra 10:6

Then Ezra rose up from before the house of God, and went into the chamber of Jehohanan the son of Eliashib: and [when] he came there, he ate no bread, nor drink water; for he mourned because of the trespass of them of the captivity.