Ezra 10 : 6 Ezra chapter 10 verse 6
Swahili | English Translation |
---|---|
Ezra 10:6
Kisha Ezra akaondoka hapo mbele ya nyumba ya Mungu, akaingia katika chumba cha Yehohanani, mwana wa Eliashibu; hata, alipofika huko, hakula mkate, wala hakunywa maji; kwa maana alilia kwa sababu ya kosa lile la watu wa uhamisho.
|
Ezra 10:6Then Ezra rose up from before the house of God, and went into the chamber of Jehohanan the son of Eliashib: and [when] he came there, he ate no bread, nor drink water; for he mourned because of the trespass of them of the captivity. |