Ezra 10 : 2 Ezra chapter 10 verse 2

Swahili English Translation

Ezra 10:2

Hata Shekania, mwana wa Yehieli, mmoja wa wana wa Elamu, akajibu, akamwambia Ezra, Sisi tumemkosa Mungu wetu, nasi tumeoa wanawake wageni wa watu wa nchi hizi; lakini kungaliko tumaini kwa Israeli katika jambo hili.
soma Mlango wa 10

Ezra 10:2

Shecaniah the son of Jehiel, one of the sons of Elam, answered Ezra, We have trespassed against our God, and have married foreign women of the peoples of the land: yet now there is hope for Israel concerning this thing.