Ezra 10 : 13 Ezra chapter 10 verse 13
Swahili | English Translation |
---|---|
Ezra 10:13
Lakini watu hawa ni wengi, tena ni wakati wa mvua nyingi, nasi hatuwezi kusimama nje, tena kazi hii si kazi ya siku moja, wala ya siku mbili; maana tumekosa sana katika jambo hili.
|
Ezra 10:13But the people are many, and it is a time of much rain, and we are not able to stand outside: neither is this a work of one day or two; for we have greatly transgressed in this matter. |