Ezekieli 6 : 8 Ezekiel chapter 6 verse 8
Swahili | English Translation |
---|---|
Ezekieli 6:8
Lakini nitasaza mabaki; maana mtakuwa na baadhi ya watu watakaoukimbia upanga kati ya mataifa, mtakapokuwa mmetawanyika katika nchi za watu.
|
Ezekiel 6:8Yet will I leave a remnant, in that you shall have some that escape the sword among the nations, when you shall be scattered through the countries. |