Ezekieli 6 : 8 Ezekiel chapter 6 verse 8

Swahili English Translation

Ezekieli 6:8

Lakini nitasaza mabaki; maana mtakuwa na baadhi ya watu watakaoukimbia upanga kati ya mataifa, mtakapokuwa mmetawanyika katika nchi za watu.
soma Mlango wa 6

Ezekiel 6:8

Yet will I leave a remnant, in that you shall have some that escape the sword among the nations, when you shall be scattered through the countries.