Ezekieli 20 : 6 Ezekiel chapter 20 verse 6
Swahili | English Translation |
---|---|
Ezekieli 20:6
katika siku ile naliwainulia mkono wangu, kuwatoa katika nchi ya Misri, na kuwaingiza katika nchi niliyowapelelezea, ijaayo maziwa na asali, ambayo ni utukufu wa nchi zote;
|
Ezekiel 20:6in that day I swore to them, to bring them forth out of the land of Egypt into a land that I had searched out for them, flowing with milk and honey, which is the glory of all lands. |