Ezekieli 20 : 21 Ezekiel chapter 20 verse 21

Swahili English Translation

Ezekieli 20:21

Lakini watoto hao waliniasi; hawakuenda katika amri zangu, wala hawakuzishika hukumu zangu kuzitenda, ambazo mwanadamu ataishi kwazo kama akizitenda; walizitia unajisi sabato zangu, ndipo nikasema, kwamba nitamwaga ghadhabu yangu juu yao, ili kuitimiza hasira yangu juu yao jangwani.
soma Mlango wa 20

Ezekiel 20:21

But the children rebelled against me; they didn't walk in my statutes, neither kept my ordinances to do them, which if a man do, he shall live in them; they profaned my Sabbaths. Then I said I would pour out my wrath on them, to accomplish my anger against them in the wilderness.