Ezekieli 20 : 15 Ezekiel chapter 20 verse 15

Swahili English Translation

Ezekieli 20:15

Tena naliwainulia mkono wangu jangwani, ya kwamba sitawaingiza katika nchi ile niliyokuwa nimewapa, ijaayo maziwa na asali, ambayo ni utukufu wa nchi zote;
soma Mlango wa 20

Ezekiel 20:15

Moreover also I swore to them in the wilderness, that I would not bring them into the land which I had given them, flowing with milk and honey, which is the glory of all lands;