Ezekieli 18 : 18 Ezekiel chapter 18 verse 18
Swahili | English Translation |
---|---|
Ezekieli 18:18
Kwa habari za yule baba yake, kwa sababu aliwaonea watu kwa ukali mwingi, na kumnyang'anya ndugu yake mali yake kwa nguvu; na kuyatenda yasiyo mema kati ya watu wake, tazama, atakufa katika uovu wake.
|
Ezekiel 18:18As for his father, because he cruelly oppressed, robbed his brother, and did that which is not good among his people, behold, he shall die in his iniquity. |