Ezekieli 16 : 47 Ezekiel chapter 16 verse 47

Swahili English Translation

Ezekieli 16:47

Lakini hukuenda katika njia zao, wala hukutenda sawasawa na machukizo yao; lakini kana kwamba hilo ni jambo dogo sana, ulikuwa umeharibika kuliko wao katika njia zako zote.
soma Mlango wa 16

Ezekiel 16:47

Yet have you not walked in their ways, nor done after their abominations; but, as [if that were] a very little [thing], you were more corrupt than they in all your ways.