Ezekieli 14 : 13 Ezekiel chapter 14 verse 13

Swahili English Translation

Ezekieli 14:13

Mwanadamu, nchi itakapofanya dhambi na kuniasi, kwa kukosa, nikaunyosha mkono wangu juu yake, na kulivunja tegemeo la chakula chake, na kuipelekea njaa, na kukatilia mbali mwanadamu na mnyama;
soma Mlango wa 14

Ezekiel 14:13

Son of man, when a land sins against me by committing a trespass, and I stretch out my hand on it, and break the staff of the bread of it, and send famine on it, and cut off from it man and animal;