Ezekieli 13 : 13 Ezekiel chapter 13 verse 13

Swahili English Translation

Ezekieli 13:13

Basi Bwana MUNGU asema hivi; Nitaupasua kwa upepo wa dhoruba, katika ghadhabu yangu; tena kutakuwa mvua ya barafu ya kufurika katika hasira yangu; na mawe makubwa ya barafu katika hasira ya kuukomesha.
soma Mlango wa 13

Ezekiel 13:13

Therefore thus says the Lord Yahweh: I will even tear it with a stormy wind in my wrath; and there shall be an overflowing shower in my anger, and great hailstones in wrath to consume it.