Ezekieli 12 : 4 Ezekiel chapter 12 verse 4
Swahili | English Translation |
---|---|
Ezekieli 12:4
Nawe utatoa vyombo vyako, wakati wa mchana, mbele ya macho yao, kana kwamba ni vyombo vya kuhamishwa; nawe mwenyewe utatoka, wakati wa jioni, mbele ya macho yao, kama watu watokavyo katika kuhamishwa.
|
Ezekiel 12:4You shall bring forth your stuff by day in their sight, as stuff for removing; and you shall go forth yourself at even in their sight, as when men go forth into exile. |