Ezekieli 12 : 16 Ezekiel chapter 12 verse 16
Swahili | English Translation |
---|---|
Ezekieli 12:16
Lakini nitawasaza watu wachache miongoni mwao na kuwaokoa na upanga, na njaa, na tauni ili watangaze habari ya machukizo yao yote, kati ya mataifa huko waendako; nao watajua ya kuwa mimi ndimi Bwana.
|
Ezekiel 12:16But I will leave a few men of them from the sword, from the famine, and from the pestilence; that they may declare all their abominations among the nations where they come; and they shall know that I am Yahweh. |