Ezekieli 1 : 11 Ezekiel chapter 1 verse 11
Swahili | English Translation |
---|---|
Ezekieli 1:11
Na nyuso zao na mabawa yao yalikuwa yametengana kwa juu; mabawa mawili ya kila mmoja yaliungana, hili na hili, na mawili yalifunika miili yao.
|
Ezekiel 1:11Their faces and their wings were separate above; two [wings] of everyone were joined one to another, and two covered their bodies. |