Kutoka 40 : 38 Exodus chapter 40 verse 38

Swahili English Translation

Kutoka 40:38

Kwa maana lile wingu la Bwana lilikuwa juu ya maskani wakati wa mchana, na mlikuwa na moto ndani yake wakati wa usiku, mbele ya macho ya nyumba ya Israeli katika safari zao zote.
soma Mlango wa 40

Exodus 40:38

For the cloud of Yahweh was on the tent by day, and there was fire in the cloud by night, in the sight of all the house of Israel, throughout all their journeys.