Kutoka 39 : 18 Exodus chapter 39 verse 18

Swahili English Translation

Kutoka 39:18

Na ncha hizo mbili nyingine, za hiyo mikufu miwili ya kusokotwa, wakazitia katika vile vijalizo viwili, na kuvitia katika vile vipande vya mabegani vya naivera, upande wa mbele.
soma Mlango wa 39

Exodus 39:18

The other two ends of the two braided chains they put on the two settings, and put them on the shoulder-pieces of the ephod, in the front of it.