Kutoka 39 : 14 Exodus chapter 39 verse 14

Swahili English Translation

Kutoka 39:14

Na hivyo vito vilikuwa vyaandama majina ya wana wa Israeli, kumi na mawili, sawasawa na majina yao; mfano wa kuchora muhuri, kila moja kwa jina lake, kwa zile kabila kumi na mbili.
soma Mlango wa 39

Exodus 39:14

The stones were according to the names of the children of Israel, twelve, according to their names; like the engravings of a signet, everyone according to his name, for the twelve tribes.